"Al-hamdulillaahi lladhi ah-yaanaa baada maa amaatanaa wailaihin nushuur" Yaani: Kila sifa njema zinamstahiki Mwenyezi Mungu aliyetuhuisha baada ya kutufisha na kwake tutafufuliwa. Wamekubaliana Bukhari na Muslim.
جميع الحقوق محفوظة للمصحف الإلكتروني © 2025