Jawabu: La wajibu: Ni kushukuru, na kunakuwa kwa kumsifu Mwenyezi Mungu na kumhimidi kwa ulimi na yakwamba yeye pekee ndiye mwenye fadhila, na kwa kuzitumia neema hizi katika yale yenye kumridhisha Mwenyezi Mungu Mtukufu, si kwa kumuasi.
جميع الحقوق محفوظة للمصحف الإلكتروني © 2025